Mk. 12:39-41 Swahili Union Version (SUV)

39. na kuketi mbele katika masinagogi, na viti vya mbele katika karamu;

40. ambao hula nyumba za wajane, na kwa unafiki husali sala ndefu; hawa watapata hukumu iliyo kubwa.

41. Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi.

Mk. 12