Mk. 10:1 Swahili Union Version (SUV)

Akaondoka huko akafika mipakani mwa Uyahudi, na ng’ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.

Mk. 10

Mk. 10:1-8