Mit. 9:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima;Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;

10. Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima;Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.

11. Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa;Na miaka ya maisha yako itaongezwa.

Mit. 9