Mit. 9:3-7 Swahili Union Version (SUV)

3. Amewatuma wajakazi wake, analia,Mahali pa mjini palipoinuka sana,

4. Kila aliye mjinga na aingie humu.Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,

5. Njoo ule mkate wangu,Ukanywe divai niliyoichanganya.

6. Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi,Mkaende katika njia ya ufahamu.

7. Amkemeaye mwenye dharau hujipatia fedheha;Amkaripiaye mtu mbaya hujipatia aibu.

Mit. 9