9. Wakati wa magharibi, wakati wa jioni,Usiku wa manane, gizani.
10. Na tazama, mwanamke akamkuta,Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;
11. Ana kelele, na ukaidi;Miguu yake haikai nyumbani mwake.
12. Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani,Naye huotea kwenye pembe za kila njia.
13. Basi akamshika, akambusu,Akamwambia kwa uso usio na haya,