Mit. 7:22-25 Swahili Union Version (SUV)

22. Huyo akafuatana naye mara hiyo,Kama vile ng’ombe aendavyo machinjoni;Au mpumbavu kuadhibiwa katika pingu;

23. Hata mshale umchome maini;Kama ndege aendaye haraka mtegoni;Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.

24. Basi, wanangu, nisikilizeni sasa,Mkayaangalie maneno ya kinywa changu.

25. Moyo wako usizielekee njia zake,Wala usipotee katika mapito yake.

Mit. 7