Mit. 30:28-31 Swahili Union Version (SUV)

28. Mjusi hushika kwa mikono yake;Lakini yumo majumbani mwa wafalme.

29. Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza,Naam, wanne walio na mwendo mzuri.

30. Simba aliye hodari kupita wanyama wote;Wala hajiepushi na aliye yote;

31. Jimbi aendaye tambo; na beberu;Na mfalme ambaye haasiki.

Mit. 30