28. Mjusi hushika kwa mikono yake;Lakini yumo majumbani mwa wafalme.
29. Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza,Naam, wanne walio na mwendo mzuri.
30. Simba aliye hodari kupita wanyama wote;Wala hajiepushi na aliye yote;
31. Jimbi aendaye tambo; na beberu;Na mfalme ambaye haasiki.