15. Yeye ana thamani kuliko marijani,Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.
16. Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume,Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.
17. Njia zake ni njia za kupendeza sana,Na mapito yake yote ni amani.
18. Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana;Ana heri kila mtu ashikamanaye naye.