Mit. 28:19-21 Swahili Union Version (SUV)

19. Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele;Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

20. Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele;Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.

21. Kupendelea watu si kwema;Wala mtu kuasi kwa ajili ya kipande cha mkate.

Mit. 28