22. Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka.
23. Fanya bidii kuijua hali ya makundi yako;Na kuwaangalia sana ng’ombe zako.
24. Kwa maana mali haziwi za milele;Na taji je! Yadumu tangu kizazi hata kizazi?
25. Manyasi huchukuliwa, na majani mabichi huonekana,Na maboga ya milimani hukusanyika.
26. Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako;Na mbuzi ni thamani ya shamba