Mit. 27:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Usijisifu kwa ajili ya kesho;Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.

2. Mwingine na akusifu wala si kinywa chako mwenyewe;Mtu mgeni wala si midomo yako wewe.

3. Jiwe ni zito, na mchanga hulemea;Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.

Mit. 27