Mit. 26:19-21 Swahili Union Version (SUV)

19. Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake,Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?

20. Moto hufa kwa kukosa kuni;Na bila mchongezi fitina hukoma.

21. Kama makaa juu ya makaa yanayowaka,Na kama kuni juu ya moto;Ndivyo mtu mgomvi achocheavyo uadui.

Mit. 26