Mit. 24:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Mtu afikiriye kutenda maovu,Watu watamwita mtundu;

9. Fikira za mpumbavu ni dhambi,Na mwenye mzaha huwachukiza watu.

10. Ukizimia siku ya taabu,Nguvu zako ni chache.

11. Uwaokoe wanaochukuliwa ili wauawe;Nao walio tayari kuchinjwa uwaopoe.

Mit. 24