4. Na kwa maarifa vyumba vyake hujazwaVitu vyote vya thamani na vya kupendeza.
5. Mtu mwenye hekima ana nguvu;Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;
6. Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita;Na kwa wingi wa washauri huja wokovu.
7. Kwa mpumbavu hekima haipatikani;Hafumbui kinywa chake langoni.
8. Mtu afikiriye kutenda maovu,Watu watamwita mtundu;
9. Fikira za mpumbavu ni dhambi,Na mwenye mzaha huwachukiza watu.
10. Ukizimia siku ya taabu,Nguvu zako ni chache.