Mit. 22:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi;Na neema kuliko fedha na dhahabu.

2. Tajiri na maskini hukutana pamoja;BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.

3. Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha;Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

4. Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANANi utajiri, na heshima, nayo ni uzima.

Mit. 22