Mit. 21:27-30 Swahili Union Version (SUV)

27. Sadaka ya wasio haki ni chukizo;Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!

28. Shahidi wa uongo atapotea;Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.

29. Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu;Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.

30. Hapana hekima, wala ufahamu,Wala shauri, juu ya BWANA.

Mit. 21