27. Sadaka ya wasio haki ni chukizo;Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!
28. Shahidi wa uongo atapotea;Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.
29. Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu;Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.
30. Hapana hekima, wala ufahamu,Wala shauri, juu ya BWANA.