Mit. 21:22-24 Swahili Union Version (SUV)

22. Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu;Na kuziangusha nguvu za tumaini lao.

23. Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake,Atajilinda nafsi yake na taabu.

24. Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi;Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.

Mit. 21