Mit. 19:21-23 Swahili Union Version (SUV)

21. Mna hila nyingi moyoni mwa mtu;Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.

22. Haja ya mwanadamu ni hisani yake;Ni afadhali maskini kuliko mwongo.

23. Kumcha BWANA huelekea uhai;Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.

Mit. 19