Mit. 18:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo;Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

9. Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake,Ni ndugu yake aliye mharabu.

10. Jina la BWANA ni ngome imara;Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.

11. Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu;Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.

Mit. 18