5. Kukubali uso wake asiye haki si vizuri;Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.
6. Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina,Na kinywa chake huita mapigo.
7. Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake,Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.
8. Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo;Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.
9. Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake,Ni ndugu yake aliye mharabu.