Mit. 17:25-27 Swahili Union Version (SUV)

25. Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye,Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.

26. Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri;Wala si kwema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.

27. Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa;Na mwenye roho ya utulivu ana busara.

Mit. 17