Mit. 15:2-4 Swahili Union Version (SUV)

2. Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri;Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.

3. Macho ya BWANA yako kila mahali;Yakimchunguza mbaya na mwema.

4. Ulimi safi ni mti wa uzima;Bali ukorofi wa ulimi huvunja moyo.

Mit. 15