Mit. 14:32-34 Swahili Union Version (SUV)

32. Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake;Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.

33. Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu;Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.

34. Haki huinua taifa;Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.

Mit. 14