Mit. 1:30-32 Swahili Union Version (SUV)

30. Hawakukubali mashauri yangu,Wakayadharau maonyo yangu yote.

31. Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao,Watashiba mashauri yao wenyewe.

32. Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua,Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.

Mit. 1