Mit. 1:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.

2. Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;

3. kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili.

4. Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na hadhari;

Mit. 1