Mhu. 8:16 Swahili Union Version (SUV)

Mimi nilipotia moyo wangu katika kuijua hekima, na kuuona utumishi uliofanyika juu ya nchi, (maana kuna asiyepata usingizi kwa macho yake mchana wala usiku);

Mhu. 8

Mhu. 8:7-17