Mhu. 8:10 Swahili Union Version (SUV)

Pia nikaona waovu wamezikwa, nao wamefika kaburini; tena waliofanya mema wameondoka katika patakatifu, nao wamesahauliwa mjini. Hayo nayo ni ubatili.

Mhu. 8

Mhu. 8:9-16