Mhu. 2:11 Swahili Union Version (SUV)

Kisha nikaziangalia kazi zote zilizofanywa kwa mikono yangu, na taabu yote niliyotaabika katika kuzitenda; na tazama, yote ni ubatili na kujilisha upepo, wala faida hakuna chini ya jua.

Mhu. 2

Mhu. 2:1-16