Mhu. 12:3 Swahili Union Version (SUV)

Siku ile walinzi wa nyumba watakapotetema;Hapo wenye nguvu watakapojiinamisha;Na wasagao kukoma kwa kuwa ni haba;Na hao wachunguliao madirishani kutiwa giza;

Mhu. 12

Mhu. 12:1-10