Mhu. 11:5 Swahili Union Version (SUV)

Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.

Mhu. 11

Mhu. 11:1-10