Mdo 4:36-37 Swahili Union Version (SUV)

36. Na Yusufu, aliyeitwa na mitume Barnaba, (maana yake, Mwana wa faraja), Mlawi, asili yake ni mtu wa Kipro,

37. alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.

Mdo 4