Mdo 25:10 Swahili Union Version (SUV)

Paulo akasema, Mimi ninasimama hapa mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari, ndipo panipasapo kuhukumiwa; sikuwakosa Wayahudi neno, kama wewe ujuavyo sana.

Mdo 25

Mdo 25:1-19