36. Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.
37. Wakalia sana wote, wakamwangukia Paulo shingoni, wakambusu-busu,
38. wakihuzunika zaidi kwa sababu ya neno lile alilosema, ya kwamba hawatamwona uso tena. Wakamsindikiza hata merikebuni.