Mdo 20:36-38 Swahili Union Version (SUV)

36. Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote.

37. Wakalia sana wote, wakamwangukia Paulo shingoni, wakambusu-busu,

38. wakihuzunika zaidi kwa sababu ya neno lile alilosema, ya kwamba hawatamwona uso tena. Wakamsindikiza hata merikebuni.

Mdo 20