Mdo 16:18 Swahili Union Version (SUV)

Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.

Mdo 16

Mdo 16:17-19