1. Basi mitume na ndugu waliokuwako katika Uyahudi wakapata habari ya kwamba watu wa Mataifa nao wamelipokea neno la Mungu.
2. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye,
3. wakisema, Uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao.
4. Petro akaanza kuwaeleza kwa taratibu, akasema,