Mdo 10:8-10 Swahili Union Version (SUV)

8. na alipokwisha kuwaeleza mambo yote akawatuma kwenda Yafa.

9. Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;

10. akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,

Mdo 10