Mal. 2:6 Swahili Union Version (SUV)

Sheria ya kweli ilikuwa kinywani mwake, wala udhalimu haukuonekana midomoni mwake; alikwenda pamoja nami katika amani na unyofu, na kuwageuza wengi hata wakaacha uovu.

Mal. 2

Mal. 2:2-11