Lk. 8:43 Swahili Union Version (SUV)

Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu ye yote,

Lk. 8

Lk. 8:36-50