Lk. 8:35 Swahili Union Version (SUV)

Watu wakatoka kwenda kuliona lililotokea, wakamwendea Yesu, wakamwona mtu yule aliyetokwa na pepo ameketi miguuni pa Yesu, amevaa nguo, ana akili zake; wakaogopa.

Lk. 8

Lk. 8:26-36