Lk. 8:24 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.

Lk. 8

Lk. 8:20-30