Lk. 5:37 Swahili Union Version (SUV)

Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; na kama akitia, ile divai mpya itavipasua vile viriba, divai yenyewe itamwagika, na viriba vitaharibika.

Lk. 5

Lk. 5:28-39