Lk. 5:21 Swahili Union Version (SUV)

Basi, wale waandishi na Mafarisayo wakaanza kuhojiana wakisema, Ni nani huyu asemaye maneno ya kukufuru? N’nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?

Lk. 5

Lk. 5:20-26