Lk. 4:38 Swahili Union Version (SUV)

Akatoka katika sinagogi, akaingia katika nyumba ya Simoni. Naye mkwewe Simoni, mamaye mkewe, alikuwa ameshikwa na homa kali, wakamwomba kwa ajili yake.

Lk. 4

Lk. 4:37-42