Lk. 23:52-55 Swahili Union Version (SUV)

52. mtu huyo alikwenda kwa Pilato, akataka kupewa mwili wa Yesu.

53. Akaushusha, akauzinga sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani, ambalo hajalazwa mtu bado ndani yake.

54. Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.

55. Na wale wanawake waliokuja naye toka Galilaya walifuata, wakaliona kaburi, na jinsi mwili wake ulivyowekwa.

Lk. 23