Lk. 21:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Akainua macho yake akawaona matajiri wakitia sadaka zao katika sanduku la hazina.

2. Akamwona mjane mmoja maskini akitia mle senti mbili.

3. Akasema, Hakika nawaambia, huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote;

Lk. 21