Lk. 20:21 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwuliza, wakisema, Mwalimu, twajua ya kwamba wasema na kufundisha yaliyo ya haki, wala hujali cheo cha mtu, bali unafundisha njia ya Mungu kwa kweli.

Lk. 20

Lk. 20:20-27