Lk. 2:50-52 Swahili Union Version (SUV)

50. Nao hawakuelewa na neno hilo alilowaambia.

51. Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.

52. Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.

Lk. 2