Lk. 2:29-33 Swahili Union Version (SUV)

29. Sasa, Bwana, wamruhusu mtumishi wako,Kwa amani, kama ulivyosema;

30. Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu wako,

31. Uliouweka tayari machoni pa watu wote;

32. Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa,Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli.

33. Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.

Lk. 2