Lk. 16:29-31 Swahili Union Version (SUV)

29. Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.

30. Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.

31. Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.

Lk. 16