Lk. 16:24 Swahili Union Version (SUV)

Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.

Lk. 16

Lk. 16:23-31